Ronny Coaches
Mwanamuziki wa Ghana
Ronnie Coaches (Alifariki 21 Novemba 2013), pia anajulikana kama Ronnie, alikuwa mwanamuziki mzaliwa wa Ghana na mwanachama wa kikundi cha muziki cha hiplife cha Buk Bak.[1]
Elimu hariri
Alipata elimu yake ya sekondari katika shule ya Datus Complex. Pia alikuwa na mafunzo ya kiufundi katika Accra Technical Training Centre (ATTC).
Maisha hariri
Ronnie alikufa 21 Novemba 2013 huko Korle Bu Teaching Hospital[1]