Rosenborg Ballklub

Rosenborg Ballklub (kifupisho: RBK) ni klabu ya kandanda kutoka mji wa Trondheim, Norwei. Inacheza katika Ligi Kuu ya Norwei. Klabu iliundwa mwaka 1917.

Rosenborg Ballklub
Rangi nyumbani
Rangi za safari
Rosenborg akicheza na Real Madrid michuano ya UEFA Champions ndani ya uwanja wa Trofeo Santiago Bernabéu huko Estadio Santiago Bernabéu mnamo 2009

Lerkendal Stadion hariri

Lerkendal ni Uwanja wa mpira wa miguu huko Trondheim, Norwei. Ni uwanja wa nyumbani kwa Rosenborg BK. Unapokea watazamaji 21,116, na hivi ni wa pili kwa ukubwa nchini humo.

Tuzo hariri

  • Ligi Kuu ya Norwei:
    • Washindi (26): 1967, 1969, 1971, 1985, 1988, 1990, 1992, 1993, 1994, 1995, 1996, 1997, 1998, 1999, 2000, 2001, 2002, 2003, 2004, 2006, 2009, 2010, 2015, 2016, 2017, 2018
    • Wa pili (5): 1968, 1970, 1973, 1989, 1991
  • Kombe la soka la Norwei:
    • Washindi (12): 1960, 1964, 1971, 1988, 1990, 1992, 1995, 1999, 2003, 2015, 2016, 2018
    • wa pili (5): 1967, 1972, 1973, 1991, 1998

Wachezaji wa klabu kwa msimu wa mwaka wa 2022 hariri

13 May 2022[1]

Note: Flags indicate national team as has been defined under FIFA eligibility rules. Players may hold more than one non-FIFA nationality.

Na. Nafasi Mchezaji
1   GK André Hansen
2   DF Erlend Dahl Reitan
3   DF Jonathan Augustinsson
4   MF Vebjørn Hoff
5   MF Per Ciljan Skjelbred
7   MF Markus Henriksen (captain)
8   MF Tobias Børkeeiet
9   FW Noah Holm
10   FW Carlo Holse
13   GK Julian Faye Lund
15   DF Sam Rogers
16   DF Håkon Røsten
Na. Nafasi Mchezaji
19   DF Adrian Pereira
20   MF Edvard Tagseth
21   MF Olaus Skarsem
22   FW Stefano Vecchia
23   MF Pavle Vagić
24   GK Sander Tangvik
25   DF Adam Andersson
27   FW Ole Sæter
39   MF Marius Sivertsen Broholm
41   MF Sverre Halseth Nypan

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Rosenborg Ballklub kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Viungo vya nje hariri