Sagara ni kata ya Wilaya ya Kongwa, katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41503[1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 28,536 [2]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 22,066 [3] waishio humo. Makabila yaishiyo Sagara kwa wingi ni Wakaguru na Wagogo.

Kata hii ina jumla ya vijiji 5: Sagara A na B, Msingisa, Ijaka, Laikala. Sagara ndiyo makao makuu ya kata ya Sagara. Kijiji cha Sagara kina mandhari nzuri kiasi, kina maji ya kutosha kutoka kwenye chanzo cha maji; wanakijiji hawanunui maji.

Katika kata za Sagara kuna shule za sekondari mbili na shule za msingi saba. mfano wa shule za msingi ni Sogelea, Sagara, Kadyango, Ijaka, Laikala na Msingisa. Shule Za sekondari ni Sagara na Laikala.

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-11-01. 
  2. https://www.nbs.go.tz
  3. "Sensa ya 2012, Dodoma - Kongwa DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-05-18. 
  Kata za Wilaya ya Kongwa - Mkoa wa Dodoma - Tanzania  

Chamkoroma | Chitego | Chiwe | Hogoro | Iduo | Kibaigwa | Kongwa | Lenjulu | Makawa | Matongoro | Mkoka | Mlali | Mtanana | Ng'humbi | Ngomai | Njoge | Pandambili | Sagara | Sejeli | Songambele | Ugogoni | Zoissa


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sagara kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.