Sandister Tei ni mtaalamu wa Vyombo vya habari wa nchini Ghana ambaye alikua mwanawikimedia wa mwaka mnamo Oktoba 2020 na Mwanzilishi mwenza wa Wikipedia Jimmy Wales.

Sandister Tei

Yeye ndiye mwanzilishi na mfanyakazi wa kujitolea wa Kikundi cha Watumiaji cha Wikimedia Ghana.[1]

Marejeo hariri

  1. "Planning Wikimedia Ghana". GhanaWeb (kwa Kiingereza). 2013-08-23. Iliwekwa mnamo 2022-10-02.