Sharjah (Kiar.: الشارقة ash-shaariqah) ni jina la emirati katika shirikisho la Falme za Kiarabu na pia jina la mji mkuu wa emirati hii.

Mji wa Sharjah
Bendera ya Sharjah
Falme za Kiarabu

Ina wakazi 636,000 kwenye eneo la 2,600 km² mwambanoni wa Ghuba ya Uajemi.

Jiografia hariri

Faili:Sharjah-stamp1.jpg
Stempu ya Sharjah

Sharjah ni utemi mkubwa wa tatu kati ya Falme za Kiarabu. Inatawaliwa na Sheikh Dr. Sultan al-Qasimi.

Mji wa Sharja ina wakazi 519,000 (2003 sensa). Iko karibu na miji ya Ajman na Dubai na yote mitatu imekuwa sasa rundiko la jiji.

Viungo vya nje hariri

Magazeti za Falme za Kiarabu hariri