Sumu ni dutu yoyote inayoweza kuharibu kiasi kidogo shughuli za seli au inayoweza kudhuru muundo wa seli au kiumbehai.

Alama ya sumu
Fuvu na alama ya mifupa iliyopishana hutumiwa kuandika kitu chenye sumu ndani yake

Inaweza kunyweka au kuliwa , au kufyonzwa kupitia ngozi. Uharibifu kawaida hufanyika na mmenyuko wa kemikali. Athari ya sumu hutofautiana na kiasi ambacho kilichukuliwa mwilini. Dutu ambazo ni sumu huweza kusababisha kifo .

Katika dawa na zoolojia, sumu ni matokeo ya mchakato wa kibiolojia. Vitu ambavyo viumbe wanatumia kuharibu aina nyingine. Viumbe fulani hutumia vimelea kwa uwindaji, au kama ulinzi. Kama kiumbe ni mwenyesumu, kama vile uyoga , ni hatari kula. Ikiwa ni kiumbe mwenyesumu, kama nyoka au nyuki , huuma au kuumiza. Kwa baadhi, wanadamu wameanzisha Dawa za viumbe wenye sumu zilizo bora.

Mara nyingi ni wingi tu wa dutu inayofanya tofauti. Kunywa pombe huweza kusababisha tabia ya ukatili, matatizo ya hotuba, na aina tofauti za kupoteza kumbukumbu. Athari hii inaitwa uchukuaji wa sumu. Watu wanao kunywa hata zaidi wanaweza kuwa mshtuko. Wakati huo huo, pombe inaweza kutumika kama dawa ya kuuwa viini.

Sumu juu ya msumari wa nyigu

Kuna aina nyingine za vitu hatari. Hivi ni:

Aina za sumu: hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sumu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.