Theodori wa Canterbury
(Elekezwa kutoka Theodore of Tarsus)
Theodori wa Canterbury (Tarso, Kilikia, leo nchini Uturuki, 602 - Canterbury, Kent, Uingereza, 19 Septemba 690) alikuwa askofu wa mji huo kwa miaka 22.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Maisha hariri
Msomi tayari, baada ya Waarabu kuteka mji wake (637) alihamia Konstantinopoli kuendelea na masomo mbalimbali, halafu mwaka 660 alihamia Roma katika monasteri ya Ukristo wa mashariki.
Papa Vitalian alimteua kuwa askofu mkuu wa Canterbury, akamweka wakfu tarehe 26 Machi 668.
Alirekebisha Kanisa la Uingereza lifuate mapokeo ya Roma akaanzisha shule ya Canterbury pamoja na Adriani wa Canterbury.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Vyanzo hariri
- Bowle, John (1979). A History of Europe: A Cultural and Political Survey. London, United Kingdom: Secker and Warburg.
- Bowle, John (1971). The English Experience: A Survey of English History from Early to Modern Times. London, United Kingdom: Weidenfeld and Nicolson.
- Bunson, Matthew (2004). OSV's Encyclopedia of Catholic History. Huntington, Indiana: Our Sunday Visitor Publishing. ISBN 1-59276-026-0.
- Cantor, Norman F. (1993). The Civilization of the Middle Ages: A Completely Revised and Expanded Edition of Medieval History, the Life and Death of a Civilization. New York, New York: HarperCollins Publishers, Incorporated. ISBN 0-06-017033-6. Unknown parameter
|url-access=
ignored (help) - Collier, Jeremy; Barham, Francis Foster (1840). An Ecclesiastical History of Great Britain (Volume 1). London, United Kingdom: William Straker.
- Earle, J. J.; Plummer, Charles (1899). Anglo-Saxon Chronicle. Oxford, United Kingdom.
- Farmer, David Hugh (2004). Oxford Dictionary of Saints (toleo la Fifth). Oxford, United Kingdom: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-860949-0.
- Haddan, Arthur West; Stubbs, William; Wilkins, David (1869). Councils and Ecclesiastical Documents Relating to Great Britain and Ireland, Volume 1. Oxford, United Kingdom: Clarendon Press.
- Johnson, Edgar Nathaniel; Zabel, Orville J. (1959). An Introduction to the History of Western Tradition, Volume 1. Ginn.
- Ramsey, Michael (1962). Constantinople and Canterbury: A Lecture in the University of Athens: 7 May 1962. S.P.C.K.
- Raine, James; Stephanus, Eddius (1879). "Vita Wilfridi Episcopi auctore Eddio Stephano". The Historians of the Church of York and its Archbishops, Issue 71, Volume 1. London, United Kingdom: Longman & Co.
- Siemens, James R. (2007). "Christ's Restoration of Humankind in the Laterculus Malalianus, 14". The Heythrop Journal 48 (1): 18–28. doi:10.1111/j.1468-2265.2007.00303.x.
- Stevenson, Jane (1998). "Ephraim the Syrian in Anglo-Saxon England". Hugoye: Journal of Syriac Studies 1 (2): 253–272.
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |