Tisyano wa Oderzo
Tisyano wa Oderzo (kwa Kiitalia: Tiziano; Eraklea, Veneto, Italia, karne ya 6 - 16 Januari 632[1]) alikuwa askofu wa mji huo.
Alipinga Uario.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Antonio Borrelli (2004). "San Tiziano di Oderzo". Santi e beati. Iliwekwa mnamo August 26, 2011. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |