Trondheim

manisipaa ya Trøndelag katika Norwei






480

Trondheim (kwa Kisaami cha Kusini: Tråante) ni manispaa na mji wa Sør-Trøndelag, jimbo la Norwei. Mji una wakazi 198,219 (mnamo Oktoba 2019). Trondheim ni mji mkubwa wa tatu nchini Norwei.

Trondheim

Ngao
Trondheim is located in Norwei
Trondheim
Trondheim

Mahali pa Trondheim katika Norwei

Majiranukta: 63°25′47″N 10°23′36″E / 63.42972°N 10.39333°E / 63.42972; 10.39333
Nchi Norwei
Jimbo Sør-Trøndelag
Serikali
 - Aina ya serikali Manispaa
 - Meya Rita Ottervik (Ap)
Eneo
 - Jumla 342.26 km²
 - Kavu 324.16 km² 
 - Maji 18.1 km² 
Idadi ya wakazi (2019)
 - Wakazi kwa ujumla 198,219
Kanisa kuu la Nidaros (Nidarosdomen).

Trondheim ni mji mkuu wa jimbo la Sør-Trøndelag. Vyuo vikuu vya NTNU na Høgskolen i Sør-Trøndelag (HiST) viko Trondheim.

Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Trondheim kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.