Uwanja wa michezo wa Addis Ababa

Jengo lililopo Ethiopia
(Elekezwa kutoka Uwanja wa Addis Ababa)

Uwanja wa taifa wa Addis Ababa ni uwanja wa michezo ya riadha,Ragi pamoja na mpira wa miguu, ni uwanja wa taifa wa Ethiopia wenye uwezo wa kuchukua mashabiki takriban 250,000.Ulijengwa na serikali ya China ukiwa na ukubwa wa hekari 37 .[1][2][3]

Uwanja wa taifa wa Addis Ababa

Marejeo hariri

  1. "Ethiopia: Construction to start on new national stadium in Addis Ababa". StadiumDB. 7 Januari 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Construction to begin on Addis' Adey Abeba Stadium". Ethiosports. 13 Januari 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "CAF President Ahmad visits Ethiopia". Ethiosports. 8 Agosti 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Addis Ababa kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.