Uwanja wa Taifa wa Estadi

Uwanja wa Taifa wa Estadi ni uwanja wa mpira wa miguu na Rugby unaopatikana katika nchi ya Andora. Ni uwanja wenye uwezo wa kuchukua 3,306..[1]

Uwanja wa Taifa wa Estadi

Historia hariri

Uwanja huu ulianza kujengwa mwa 2013 na kumalizika mwaka 2014[2]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Taifa wa Estadi kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.