Uwanja wa michezo wa Mehlareng

Uwanja wa michezo wa Mehlareng ni ukumbi unaotumika kwa ajili ya michezo mingi unaopatikana huko Tembisa, katika mji na Manispaa ya Jiji la Ekurhuleni, takriban kilomita 30 Kaskazini Mashariki kutoka Wilaya ya Kati ya Biashara ya (Johannesburg).

Uwanja huu unatumika kuchezesha mechi za mpira wa miguu (soka au kandanda) kwa malipo maalumu, na kwa sasa ni uwanja wa nyumbani wa timu ya mpira ya M Tigers FC katika Ligi ya Vodacom.

Ukumbi huu pia ni uwanja wa nyumbani wa Dj Shimza ambaye huutumia kufanya Maonyesho ya Onyesha Miguu Yako na Mtu Mmoja (Show Your Legs and One Man) ambayo hufanyika mnamo Septemba na Desemba kama ilivyo ada.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Mehlareng kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.