Vikoza ni kitongoji katika kata ya Tchenzema, tarafa ya Mgeta, Wilaya ya Mvomero ya mkoa wa Morogoro.

Uchumi hariri

Watu wa Vikoza wamejikita zaidi katika kilimo. Mazao ambayo wakulima hao huyalima ni pamoja na mahindi, maharage, viazi vya aina zote, matunda na kadhalika.