Vladimir Vuletić (alizaliwa 28 Novemba 1978) ni wakili wa Serbia, profesa msaidizi katika Kitivo cha Sheria, Chuo Kikuu cha Belgrade na makamu wa rais wa zamani wa FK Partizan.

Vladimir Vuletić
Vladimir Vuletić
Vladimir Vuletić
Alizaliwa 28 Novemba 1978
Wazazi wakili wa Serbia

Maisha ya Awali na Elimu hariri

Vladimir Alizaliwa tarehe 28 Novemba 1978 huko Šabac, wakati huo sehemu ya SR Serbia na SFR Yugoslavia. mbapo alimaliza shule ya msingi "Janko Veselinović" na kisha Šabac Gymnasium.[1]

Kazi Katika Taaluma hariri

Vladimir Alichaguliwa kuwa mkufunzi msaidizi katika Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Belgrade katika uwanja wa sheria ya Kirumi mnamo Machi 2003. Akawa msaidizi mnamo Juni 2007.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vladimir Vuletić kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.