Wistani
Wistani (pia Wigstan, Wystan; alifariki Lichester, 840 hivi) alikuwa mfalme wa Mercia, leo nchini Uingereza ambaye alipinga ndoa ya malkia, mama yake, na ndugu wa karibu, ambaye alimuua kwa sababu hiyo [1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Jennings, J. C. (April 1962). "The Writings of Prior Dominic of Evesham". The English Historical Review 77 (303): 298–304. doi:10.1093/ehr/LXXVII.CCCIII.298. Check date values in:
|date=
(help) - Walker, Ian, Mercia and the Making of England.
- Yorke, Barbara, Kings and Kingdoms of Early Anglo-Saxon England. London: Seaby, 1990. ISBN 1-85264-027-8
- Zaluckij, Sarah, Mercia: the Anglo-Saxon Kingdom of Central England. Logaston: Logaston Press, 2001. ISBN 1-873827-62-8
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |