Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (Kiingereza: Ministry of Community Development, Gender and Children kifupi (MCDGC)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo hariri
Tazama pia hariri
Viungo vya nje hariri
- Tovuti rasmi Archived 15 Julai 2009 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |