Wizara ya Sheria na Katiba
Wizara ya Sheria na Katiba (Kiingereza: Ministry of Justice and Constitutional Affairs) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo hariri
Tazama pia hariri
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |