Yohane wa Matha (Faucon-de-Barcelonnette,[1] Ufaransa, 23 Juni 1154 - Roma (Italia) 17 Desemba 1213) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mtawa mwanzilishi wa shirika la Watrinitari, yaani watawa wa Utatu mtakatifu, waliojitoa kabisa kwa ajili ya kukomboa Wakristo waliotekwa utumwani.

Mt. Yohane wa Matha
Sanamu ya mkaapweke Felix wa Valois pamoja na mwanafunzi wake Yohane wa Matha. Charles Bridge, Prague.

Heshima aliyopewa tangu kale kama mtakatifu ilithibitishwa na Papa Alexander VII tarehe 21 Oktoba 1666.

Sikukuu yake ni tarehe 17 Desemba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. [1] Archived 20 Julai 2011 at the Wayback Machine. Diocèse catholique de Digne: Situé près de Barcelonnette, Faucon est le village de naissance de Saint Jean de Matha, fondateur de l'ordre des Trinitaires en 1193. À l’altitude de 1150 mètres, c'est le plus vieux village de la vallée de l'Ubaye.
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.