Yusto wa Condat alikuwa mmonaki wa monasteri ya Condat nchini Ufaransa[1].

Ingawa habari za maisha yake ni chache mno, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[2]. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius X tarehe 9 Desemba 1903[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Julai[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/60940
  2. Rombaut Van Doren, BSS, vol. VII (1966), col. 29.
  3. Index ac status causarum (1999), pp. 464 e 599.
  4. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo hariri

  • Il martirologio romano. Riformato a norma dei decreti del Concilio ecumenico Vaticano II e promulgato da papa Giovanni Paolo II, LEV, Città del Vaticano 2004.
  • Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causarum, Città del Vaticano 1999.
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.