Maziwa, Sudan Kusini

(Elekezwa kutoka Ziwa, Sudan)

Maziwa lilikuwa jimbo mojawapo la Sudan kabla ya Sudan Kusini kujitenga na kuligawa katika kaunti 8. Kwa sasa ni jimbo la Sudan Kusini.

Ramani ya Ziwa katika Sudan kabla ya uhuru wa Kusini.

Mji mkuu ni Rumbek.

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maziwa, Sudan Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.