Ziwa Kwania ni ziwa dogo la Uganda kaskazini kwa Ikweta.

Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa hilo hupokea maji kutoka mto Adip na mto Abalang na huyamwaga katika Viktoria Nile.

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri