Ziwa Nabugabo ni ziwa dogo la Uganda kusini kwa Ikweta, katika wilaya ya Masaka.

Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa hilo liko kilometa 4 kutoka Ziwa Nyanza ambalo lilitengana nalo miaka 5,000 iliyopita.

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri