AIM-9 Sidewinder ni kombora la masafa mafupi hewa-kwa-hewa, yaani ni kombora ambalo hurushwa kutoka kwenye ndege na inapaswa kugonga ndege nyingine.

AIM-9L sidewinder
AIM-9L sidewinder

Ilianza kutumiwa mwaka wa 1953 ikaingia katika vikosi vya hewa mwaka wa 1956. Ilikuwa inatumika wakati wa vita vya Vietnam sambamba na AIM-7 Sparrow, lakini haikuwa nzuri.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.