Abdul Ali Bahari ni mwanasiasa wa Kenya. Mwanachama wa muungano wa kitaifa wa Kenya, Ali alichaguliwa kuwakilisha eneobunge la Isiolo Kusini katika Bunge la Kenya uchaguzi wa 2007. [1]

Marejeo

hariri
  1. Members Of The 10th Parliament Archived 2008-06-16 at the Wayback Machine. Parliament of Kenya. Accessed June 19, 2008.