Andrew Chenge

(Elekezwa kutoka Andrew John Chenge)

Andrew John Chenge (amezaliwa 24 Desemba 1948) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Bariadi kwa miaka 20152020. [1][2]

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.jamiiforums.com/threads/mfahamu-mtanzania-andrew-chenge-ambaye-huwa-anahusishwa-kwenye-kashfa-nyingi.1267083/