Apolinari wa Ravenna
Apolinari wa Ravenna, mzaliwa wa Antiokia (Syria ya kale, leo Antakya, nchini Uturuki) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia hadi alipouawa huko kwa ajili ya imani yake.
Alitangaza kwa mataifa utajiri usiopimika wa Yesu Kristo na kama mchungaji mwema alitangulia kundi lake katika kumfuata [1].
Kwa hiyo anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- American Catholic - Saint of the Day: St Apollinaris Archived 2016-05-18 at the Portuguese Web Archive
- Catholic Encyclopedia: St. Apollinaris
- Santi Beati: Sant'Apollinare di Ravenna, Vescovo e martire
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |