Bahati Ali Abeid

Mbunge wa Tanzania

Bahati Ali Abeid (amezaliwa 22 Mei 1967) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania. Aligombea kiti cha bunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Mahonda. Pia alikuwa sekretari wa Umoja wa Wanawake Tanzania kuanzia 2002-2003.[1]

Tanbihi hariri

Chanzo hariri