Balozi wa Papa
Balozi wa Papa ni askofu mkuu ambaye anamwakilisha Ukulu mtakatifu katika nchi fulani au nchi kadhaa au muundo wa kimataifa kuhusu mambo ya ndani ya Kanisa Katoliki lakini pia ushirikiano na serikali na jamii nzima.
TanbihiEdit
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- List of all Apostolic Nunciatures and Apostolic Delegations by Giga-Catholic Information
- Nuncio from the Catholic Encyclopedia and elsewhere
- CatholicHierarchy