Basili wa Ostrog
Basili wa Ostrog (kwa Kiserbokroatia Vasilije Ostroški/Василије Острошки; jina la awali Stojan Petrović Stojanović Jovanović; 28 Desemba 1610 — 1671) alikuwa askofu wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia kwa jimbo la Zahumlje na Herzegovina.
Anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Vyanzo hariri
- Sveti Vasilije Ostroški čudotvorac: spomenica povodom 300-godišnjice njegova predstavljenja. Uprava Manastira Ostroga. 1971.
- Dimitrije M. Kalezić; Dušan P. Berić (1987). Sveti Vasilije Ostroški (Jovanović) u svome vremenu. Manastir Ostrog.
- "Sveti Vasilije Ostroški, čudotvorac i iscelitelj". Novosti.rs. May 2–9, 2009. Check date values in:
|date=
(help)
Viungo vya nje hariri
- St Basil the Bishop of Ostrog in Montenegro, Serbia Orthodox icon and synaxarion
- Text about St Basil in montenegrin language Archived 25 Novemba 2017 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |