Basino wa Trier (alifariki Trier, leo nchini Ujerumani, 4 Machi 705) alikuwa askofu wa 30 wa mji huo kuanzia mwaka 697/698 hadi kifo chake[1].

Orodha ya maaskofu wa Trier.

Mwana wa familia ya watawala, alijiunga na monasteri akawa abati, akapewa uaskofu.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 4 Machi[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Olaf Schneider: Erzbischof Hinkmar und die Folgen: Der vierhundertjährige Weg historischer Erinnerungsbilder von Reims nach Trier. Berlin, New York, 2010 v. a. S. 118–120
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.