BeOS ilikuwa mfumo wa uendeshaji uliotengenezwa na Be Inc na ulioundwa kwa ajili ya matumizi ya midia unuai na matumizi ya kompyuta ya kawaida.

Ilifanya matumizi mazuri ya teknolojia ya kutumia vichakato vingi.

Palm, Inc. ilinunua Be Inc mwaka 2001 na matoleo mapya ya BeOS hayakufanyika.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.