Bernardino Realino

Bernardino Realino, S.J. (Carpi, Emilia-Romagna, 1 Desemba 1530Lecce, Puglia, 2 Julai 1616) alikuwa padri wa Italia na mtawa wa Shirika la Yesu maarufu kwa mahubiri yake, kwa toba na kwa huduma zake kwa maskini, wagonjwa na wafungwa [1][2][3]

Masalia yake huko Lecce.

Kabla ya hapo alisomea sheria na kufanya kazi serikalini[4].

Realino alitangazwa mwenyeheri na Papa Leo XIII mwaka 1896, halafu mtakatifu na Papa Pius XII tarehe 22 Juni 1947.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Julai[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Saint Bernadine Realino. Saints SQPN (12 June 2016). Retrieved on 8 November 2016.
  2. St. Bernardino Realino. Catholic Exchange (2 July 2016). Retrieved on 8 November 2016.
  3. Saint Bernardino Realino. The Jesuit Curia in Rome. Retrieved on 8 November 2016.
  4. Saint Bernardino Realino. Santi e Beati. Retrieved on 8 November 2016.
  5. Martyrologium Romanum

Vyanzo hariri

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.