Bibia

Manispaa ya Uganda

Bibia ni manispaa iliyo katika wilaya ya Amuru, mkoa wa kaskazini wa Uganda.

Ramani ya eneo la Uganda
majira nukta (3 ° 28'26.0 "N, 32 ° 04'04.0" E (Latitudo: 3.4739; Longitudo: 32.0678))

Mahali ilipo hariri

Bibia ipo katika mkoa mdogo wa Acholi ulio mkoa wa Kaskazini, ni takriban kilometa 26 sawa na maili 16 kwa barabara umbali kutokea kaskazini mwa Atiak ambapo ndio mji wa karibu katika wilaya hiyo.[1] pia ni takriban kilomita 4.5 sawa na maili 3 kwa barabara umbali kutokea kusini mwa mji wa mpakani wa Uganda wa Elegu katika mpaka wa Kimataifa na Sudan Kusini.[2] pia Bibia ipo karibu kilomita 96 sawa na maili 60 kwa barabara kutokea kaskazini mwa Gulu ambalo ni jiji kubwa zaidi katika mkoa huo mdogo.[3] ikiwa majira nukta (3 ° 28'26.0 "N, 32 ° 04'04.0" E (Latitudo: 3.4739; Longitudo: 32.0678)).[4]

Marejeo hariri

  1. GFC (23 July 2015). "Road Distance Between Atiak And Bibia With Map". Globefeed.com (GFC). Iliwekwa mnamo 23 July 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. GFC, . (11 August 2015). "Road Distance Between Bibia And Elegu With Map". Globefeed.com (GFC). Iliwekwa mnamo 11 August 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. GFC (23 July 2015). "Map Showing Gulu And Bibia With Route Marker". Globefeed.com (GFC). Iliwekwa mnamo 23 July 2013.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. https://www.google.co.ug/maps/place/3%C2%B028'26.0%22N+32%C2%B004'04.0%22E/@3.4738889,32.0677778,17z/data=!3m1!4b1!4m2!3m1!1s0x0:0x0 | title=Location of Bibia At Google Maps}}