Bondo ni mji wa Kenya, mkubwa kuliko yote ya kaunti ya Siaya.

Bondo
Bondo is located in Kenya
Bondo
Bondo
Majiranukta: 0°14′57″N 34°16′26″E / 0.24917°N 34.27389°E / 0.24917; 34.27389
Nchi Kenya
Kaunti Siaya
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 22,712
Mji wa Bondo

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2019, kuna wakazi wapatao 22,712 wanaoishi katika mji huo[1].

Watu mashuhuri hariri

Bondo inajulikana kama pahali kiongozi wa chama cha ODM na Azimio la Umoja Raila Odinga [2] alipozaliwa.

Tanbihi hariri

Coordinates: 0°14′N 34°16′E / 0.233°N 34.267°E / 0.233; 34.267