Brigitte Bardot (amezaliwa tar. 28 Septemba 1934) ni mwigizaji wa filamu, mwanamitindo, mwimbaji na mwanaharakati wa haki za wanyama wa Kifaransa. Bardot pia ni miongoni mwa waigizaji-waimbaji waliokuwa na wapenzi zaidi kwa miaka ya 1950 na 1960.

Brigitte Bardot

Amezaliwa 28 Septemba 1934
Ufaransa
Kazi yake mwigizaji wa filamu, mwanamitindo, mwimbaji na mwanaharakati wa haki za wanyama wa Kifaransa
Brigitte Bardot, 1968.

Pia ni mmoja kati waigizaji wachache wa kutoka Ulaya halafu vyombo vya habari vya Kiamerika viwe vinatoa heshima kubwa juu ya mwigizaji au msanii wa kutoka nchi za Ulaya, yeye alibahatika kuwa na sifa kubwa kabisa katika Amerika.

Kunako miaka ya 1970 hivi, baada ya kustaafu shughuli zake za utoaji wa burudani, Bardot akaamua kuwa mwanaharakati wa haki za wanyama, ambayo shughuli hiyo mpaka leo bado anaiendeleza.

Kunako miaka ya 1990 alizungumza mengi kuhusiana na mtazamo wake wa kisiasa juu ya maswala ya uhamiaji, aligusia kidogo swala la Uislamu kuingia nchini Ufaransa na maswala ya kujamiiana waume kwa waume, yaani, mashoga-wasenge. Aliponda sana juu ya vitu hivyo na hata kuchukizwa na watu waliopo katika jamii hizo.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Brigitte Bardot kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.