Bustani ni eneo lililotengenezwa nje ya nyumba au jengo lingine kwa kupanda miti, majani na maua ili kulipendezesha na kulifurahia wakati wa kupumzika.

Bustani ya Stourhead inapendeza hata bila maua.

Pengine bustani linapandwa pia mimea kwa ajili ya mboga au matunda.

Tena kuna bustani ya wanyama ambao wanatunzwa ili watu waweze kuwaona kwa urahisi.

Bustani zilianzishwa zamani za kale.

Picha hariri

 
Bustani ya Taj Mahal, India
 
Bustani za Reggia di Caserta, Italia
 
Bustani ya Chehel Sotoun, Isfahan, Iran
 
Bustani ya kanisa kuu la Monreale, Sicilia, Italia
 
Bustani za Butchart, Victoria, British Columbia
 
Bustani za Versailles (Ufaransa)
 
Bustani za Umaid Bhawan Palace, Jodhpur, India
 
Bustani ya Villa d'Este, Italia
 
Bustani za Colonial Williamsburg, Williamsburg, Virginia
 
Bustani ya Shitennō-ji, Osaka, Japan
  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bustani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: