Caitlin Foord

mchezaji wa mpira wa miguu

Caitlin Jade Foord (alizaliwa 11 Novemba 1994)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Australia ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Arsenal ya Ligi ya Wanawake ya FA(WSL)[2] na timu ya taifa ya Australia. Alikua Mwaustralia mwenye umri mdogo zaidi kucheza Kombe la Dunia mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka kumi na sita.[3]

Caitlin Foord akiichezea Arsenal mwaka 2023

Mnamo 2011, Foord alitajwa kuwa Mchezaji Bora Chipukizi wa Wanawake wa Kombe la Dunia, Mwanasoka Bora wa Kike wa Mwaka wa Wanawake wa Asia, na Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Shirikisho la Soka la Australia la wenye umri chini ya miaka ishirini. Mnamo 2016, alipewa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Wanawake wa Asia na Shirikisho la Soka la Asia.[4]

Marejeo hariri

  1. "Family behind Matildas star Caitlin Foord for World Cup", Ilwarra Mercury, 10 June 2019. 
  2. "Chelsea Women 2–1 Arsenal Women: Blues' Beth England scores injury-time winner in League Cup final". BBC Sport. 
  3. "World Cup hero Foord returns to Glory". W-League. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-11-16. Iliwekwa mnamo 2024-04-11. 
  4. Foord, Caitlin. "Why I Can't Give Up". Exclusive Insight. 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Caitlin Foord kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.