Kaisari Kaligula

(Elekezwa kutoka Caligula)

Kaisari Kaligula (jina kamili kwa Kilatini: Julius Caesar Augustus Germanicus[1], Caligula likiwa jina la kupachikwa) alikuwa mtawala wa Dola la Roma toka mwaka 37 hadi 41 BK.

Sanamu ya marumaru ya Caligula huko Ny Carlsberg Glyptotek, Copenhagen, Denmark.

Mzao wa nasaba ya Julio-Klaudio, alizaliwa Anzio, (leo mkoani Lazio, Italia, tarehe 31 Agosti 12 na kuuawa tarehe 22 Januari 41.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. In Classical Latin, Caligula's name would be inscribed as GAIVS IVLIVS CAESAR AVGVSTVS GERMANICVS.

Marejeo hariri

Vyanzo vikuu hariri

Vyanzo vingine hariri

  • Balsdon, V. D. (1934). The Emperor Gaius. Oxford: Clarendon Press. 
  • Barrett, Anthony A. (1989). Caligula: the corruption of power. London: Batsford. ISBN 0-7134-5487-3. 
  • Grant, Michael (1979). The Twelve Caesars. New York: Penguin Books. ISBN 0-14-044072-0. 
  • Hurley, Donna W. (1993). An Historical and Historiographical Commentary on Suetonius' Life of C. Caligula. Atlanta: Scholars Press. 
  • Sandison, A. T. (1958). "The Madness of the Emperor Caligula". Medical History 2: 202–209. 
  • Wilcox, Amanda (2008). "Nature's Monster: Caligula as exemplum in Seneca's Dialogues". Katika Sluiter, Ineke; Rosen, Ralph M. Kakos: Badness and Anti-value in Classical Antiquity. Mnemosyne: Supplements. History and Archaeology of Classical Antiquity 307. Leiden: Brill. 

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kaisari Kaligula kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.