'

Chuck D
right
Amezaliwa1 Agosti 1960
Kazi yakemwanamuziki wa Marekani


Chuck D ni mwanamuziki wa Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Carlton Douglas Ridenhour. Amezaliwa 1 Agosti 1960 karibu na mji wa New York. Anapiga hasa muziki wa Rap and Hip hop.

Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chuck D kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.