Crezane Bosch

Mwanasiasa wa Afrika Kusini


Crezane Bosch (amezaliwa Mei 7 1982) ni mwanasiasa wa Afrika Kusini ambae ni mwanachama wa kidemokrasia wa muungano wa bunge la mkoa wa Gauteng kwa bunge la sita.

Crezane Bosch
Nchi Afrika Kusini
Kazi yake Mwanasiasa

Elimu hariri

Kwa sasa anasomea LLB katika Chuo Kikuu cha Afrika Kusini.[1]

Marejeo hariri

  1. https://dagauteng.org.za/our-people