D. B. Woodside
David Bryan "D.B." Woodside (amezaliwa tar. 25 Julai 1969 mjini Jamaica, Queens, New York) ni mwigizaji wa filamu na televisheni kutoka nchini Marekani.
D.B. Woodside | |
---|---|
Woodside, mnamo 2015 | |
Amezaliwa | David Bryan Woodside 25 Julai 1969 Jamaica, Queens, New York, Marekani |
Huenda akawa anafahamika kwa kuigiza kama Mkubwa wa Wafanyakazi wa Ikulu ya Marekani (na baadaye Rais) Wayne Palmer katika mfululizo wa FOX - 24. Mengineyo, anafahamika kwa kushiriki kwake katika The Temptations na Buffy the Vampire Slayer.
Viungo vya Nje hariri
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu D. B. Woodside kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |