Danieli wa Mnarani
Danieli wa Mnarani (Maratha, leo nchini Uturuki, 409 hivi - Adrianopoli, 493) alikuwa mmonaki ambaye alipata umaarufu kwa kuishi miaka 33 juu ya mnara karibu na Konstantinopoli[1].

Mchoro wa ukutani wa Mt. Danieli.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Desemba[2].
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
MarejeoEdit
- Dawes, Elizabeth & Baynes, Norman H. (1948), Three Byzantine Saints: Contemporary Biographies of St. Daniel the Stylite, St. Theodore of Sykeon and St. John the Almsgiver. London: B. Blackwell. Online version from Internet Medieval Sourcebook.
Viungo vya njeEdit
- St Daniel the Stylite Orthodox Icon and Synaxarion (December 11)
- Orthodox Church in America - Lives of the Saints
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |