'

David Hubel
David Hubel
Amezaliwa27 Februari 1926
Amefariki22 Desemba 2013.
Kazi yakedaktari kutoka nchi ya Kanada


Maandishi ya italiki


David Hunter Hubel (amezaliwa 27 Februari 1926) alikuwa daktari kutoka nchi ya Kanada. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini Marekani. Hasa alichunguza jinsi habari za macho zinazofikishwa ubongoni. Mwaka wa 1981, pamoja na Roger Sperry na Torsten Wiesel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

kipimo chakupima sehemu zafahamu

David Hubel alishiriki katika ugunduzi muhimu pamoja na mwenzake Torsten Wiesel, ambao ulileta mchango mkubwa kwa uelewa wetu wa jinsi ubongo unavyoprocess na kuelewa taarifa kutoka kwenye macho. Walianza kufanya kazi pamoja katika miaka ya 1950 na 1960, na matokeo ya utafiti wao ulileta mabadiliko chanya katika fahamu mfumo wa visual perception.

David Hubel aliendelea kufundisha na kufanya utafiti hadi kustaafu na alikuwa na ugonwa mkubwa katika mwiliwake wa neuroscience. Alifariki dunia mnamo 2013 akiwa na umri wa miaka 87. Mchango wake kwa uelewa wa jinsi ubongo unavyofanya kazi bado unatambuliwa na kuendelea kuwa msingi wa utafiti wa nevrologia na neuroscience.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu David Hubel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.