Alois Batis na wenzake

(Elekezwa kutoka David Roldán Lara)

Alois Batis na wenzake (majina kamili kwa Kihispania: Luis Bátis Sáinz, Emanuel Morales, Salvatore Lara Puente, David Roldán Lara; waliuawa Chalchihuites, Durango, 15 Agosti 1926) walikuwa Wakristo wa Meksiko waliouawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero[1].

Picha ya Mt. David Roldan Lara.

Alois alikuwa padri wa Kanisa Katoliki, wengine walei.

Papa Yohane Paulo II aliwatangaza wenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu watakatifu wafiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzao 21 waliofia dini katika vita hivyo[2]:

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwao wenyewe ni tarehe ya kifodini chao[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.