Dibaji (kutoka neno la Kiarabu; pia "kilemba") ni kipande cha maandishi (kwa kawaida huwa kifupi) ambacho huwekwa mwanzoni mwa kitabu au kazi nyingine za fasihi.

Dibaji ya kitabu cha "Men I Have Painted" cha John McLure Hamilton; 1921.
Dibaji ya kitabu cha mwaka 1900 katika lugha ya Kijerumani.

Hasa huandikwa na mtu mwingine, mbali na mwandishi halisi wa kitabu. Huelezea mahusiano na mwingiliano wa kazi zao na mwandishi mkuu au huelezea lilelile linalohusiana na kitabu, kama vile nia na manufaa yake.

Kwa utaratibu huu, wakati mwingine, si lazima sana katika matoleo ya baadaye kukatokea dibaji nyingine mbali na ile ya awali (hutokea kabla ya nyingine kama mwanzo ilikuwepo), hili huweza kuelezea kwa nini matoleo hayo mawili hutofautiana.

Dibaji ikiandikwa na mwandishi mwenyewe, basi huelezea namna kitabu kilivyotengenezwa, na wazo limetokea wapi, na huenda ikajumuisha na shukrani kwa watu waliosaidia uundwaji wa kitabu.[1] Tofauti na tabaruku, dibaji kwa kawaida lazima iwe imesainiwa.

Maelezo ya msingi yanayohusu matini makuu ya kitabu kwa kawaida hujipambua vilivyo, au hasa utangulizi, tofauti na dibaji au tabaruku.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Pope, Geoff (18 November 2010). "Foreword" Versus "Forward". Grammar Girl's Quick and Dirty Tips. Macmillan Holdings, LLC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-01-06. Iliwekwa mnamo 10 August 2012.

Viungo vya nje hariri

 
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dibaji kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.