Faarrow, ni kundi la wanamuziki wawili wa Pop/R&B wa nchini Kanada. Ambao ni pamoja na dada wa Kisomali Siham na Iman Hashi, kikundi hiki kilitoa EP yao ya kwanza ya "Lost" mnamo 2016.

Maisha binafsi hariri

Siham na Iman Hashi walizaliwa Mogadishu. Mama yao alikuwa mwanadiplomasia, ambaye kazi yake iliiweka familia katika nchi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Saudi Arabia kwa mwaka mmoja hadi miwili, na Ujerumani . Baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kuzuka nchini Somalia mwaka 1991, familia ilihamia Toronto, Kanada. [1]

Marejeo hariri

  1. "Q&A: Sisters in a "Sweet Rush" to make music and help Somalis". UNHCR. Iliwekwa mnamo 29 November 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Faarrow kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.