Fadhili Frank Mtanga (anafahamika kwa jina lake la kiuandishi kama Fadhy Mtanga[1]; alizaliwa 14 Novemba 1981) ni mwandishi mbunifu[2], mwanablogu, mpiga picha, msanifu michoro na mwanajamii kutoka nchini Tanzania.

Kazi hariri

Alitoa riwaya yake ya kwanza ya Kiswahili mnamo mwaka 2011 na ilikwenda kwa jina la Kizungumkuti — halafu ikafuatiwa na Huba[3] mnamo mwaka wa 2014 na Fungate[4] iliyotoka mwaka 2017.

Mwaka wa 2018, alichapisha kitabu chake cha kwanza cha mashairi kilichoitwa Hisia[5].

Kazi hariri

  • Kizungumkuti (2011)
  • Hisia (2018)

Marejeo hariri

  1. Mtanga, Fadhy. "Fadhy Mtanga". Mwananchi Mimi. Iliwekwa mnamo 19 February 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Fadhy Mtanga - poems -". dokumen.tips (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2018-12-20. 
  3. Huba. "Huba". mwalimuwakiswahili.com. 
  4. "Press Reader", 26 May 2017. 
  5. Mtanga, Fadhy (2018-05-30). "Ninawaleteeni kitabu cha HISIA". Fadhy Mtanga. Iliwekwa mnamo 2018-12-20. 
  6. Mtanga, Fadhy (2014). Huba (kwa Kiswahili). Jukwaa Huru Media. 
  7. "Princeton University Library". Princeton University Library. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014. Iliwekwa mnamo 20 December 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  8. Mtanga, Fadhy (2017). Fungate (kwa Kiswahili). UWARIDI. ISBN 9789987950843.