Fadhy Mtanga
Fadhili Frank Mtanga (anafahamika kwa jina lake la kiuandishi kama Fadhy Mtanga[1]; alizaliwa 14 Novemba 1981) ni mwandishi mbunifu[2], mwanablogu, mpiga picha, msanifu michoro na mwanajamii kutoka nchini Tanzania.
Kazi hariri
Alitoa riwaya yake ya kwanza ya Kiswahili mnamo mwaka 2011 na ilikwenda kwa jina la Kizungumkuti — halafu ikafuatiwa na Huba[3] mnamo mwaka wa 2014 na Fungate[4] iliyotoka mwaka 2017.
Mwaka wa 2018, alichapisha kitabu chake cha kwanza cha mashairi kilichoitwa Hisia[5].
Kazi hariri
- Kizungumkuti (2011)
- Hisia (2018)
Marejeo hariri
- ↑ Mtanga, Fadhy. "Fadhy Mtanga". Mwananchi Mimi. Iliwekwa mnamo 19 February 2018. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "Fadhy Mtanga - poems -". dokumen.tips (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2018-12-20.
- ↑ Huba. "Huba". mwalimuwakiswahili.com.
- ↑ "Press Reader", 26 May 2017.
- ↑ Mtanga, Fadhy (2018-05-30). "Ninawaleteeni kitabu cha HISIA". Fadhy Mtanga. Iliwekwa mnamo 2018-12-20.
- ↑ Mtanga, Fadhy (2014). Huba (kwa Kiswahili). Jukwaa Huru Media.
- ↑ "Princeton University Library". Princeton University Library. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014. Iliwekwa mnamo 20 December 2018. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ Mtanga, Fadhy (2017). Fungate (kwa Kiswahili). UWARIDI. ISBN 9789987950843.