Faili:Watengwa.jpg

Watengwa.jpg(piseli 496 × 480, saizi ya faili: 53 KB, aina ya MIME: image/jpeg)

Watengwa ni kundi la muziki wa Hip Hop kutoka Arusha, Tanzania. Kundi hili lilianzishwa mwaka 1999 huko mjini Arusha, Tanzania. Kundi hili ni moja kati ya makundi maarufu ya Hip Hop Tanzania na pia inasemekana ni kundi linalobeba wasanii wengi kuliko kundi lolote Afrika. Baadhi ya wasanii wa kundi hili ni JCB, Chindo, Ghost, Donnie, Chabba, Alwatan Kweley,Mapacha,Daz Naledge, Yuzo na wengineo. Kundi hili lilipata mwamko na ushawishi kutoka katika kundi la Wu Tang Clan la Marekani, Methodman, Nas na wana Hip Hop wengine duniani.

Historia ya faili

Bonyeza tarehe/saa kuona faili kama ilivyoonekana wakati huo.

Tarehe/SaaPicha ndogoVipimoMtumiajiMaelezo
sasa hivi10:22, 28 Novemba 2012Picha ndogo ya toleo la 10:22, 28 Novemba 2012496 × 480 (53 KB)Jeremy~swwiki (majadiliano | michango)http://4.bp.blogspot.com/-0LvvJ3rcmas/T_FQJAD8EeI/AAAAAAAAcoI/r2w6JiNE7HY/s1600/317971_10151146669448814_2094713654_n.jpg
10:13, 28 Novemba 2012Picha ndogo ya toleo la 10:13, 28 Novemba 2012496 × 480 (53 KB)Jeremy~swwiki (majadiliano | michango)Jina La Kundi: Watengwa/Hard Core Unit Studio: Watengwa Recods Asili: Kijenge Juu, Arusha Tangu: 1999- Washirika: Ukoo Flani Mau Mau, Boom Blast, Nako 2 Nako, River Camp,TGP, Nakaaya. Grounds: Via Via Watayarishaji : Sam, Chindo, Daz Naledge. Mtandao: ...
08:57, 28 Novemba 2012Picha ndogo ya toleo la 08:57, 28 Novemba 2012496 × 480 (53 KB)Jeremy~swwiki (majadiliano | michango)Jina: Watengwa Asili: Arusha, Tanzania Aina Ya Muziki: Hip Hop, African Hip Hop, Hard Core, Street Genre! Tangu: 1996 Ushirikiano: Nako 2 Nako, River Camp, Nakaaya, M 1,Ukoo Flani. Makazi: Arusha, USA, France, Norway.

Hakuna kurasa zozote zinazotumia faili hii.