Familia (maana)
ukarasa wa maana wa Wikimedia
Familia inaweza kumaanisha
- Familia - kama kundi la baba, mama na watoto wanaoishi pamoja
- Familia (biolojia) - vikundi vya viumbehai kama wanyama wanaopangwa pamoja katika uainishaji wa kisayansi
- Kundi mbalimbali za vitu, magimba na kadhalika zinazopangwa pamoja kwa sababu zina tabia za pamoja; wanafalaki wanaweza kujadili "familia za nyota"; wanahisabati hupanga "familia za namba" n.k.