Felix Liberty (aliyezaliwa Felix Aigbe Liberty) anayejulikana pia kama Lover boy ni mwanamuziki wa pop wa Nigeria, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji. Anafahamika zaidi kwa wimbo wake "Ifeoma"[1][2][3][4]

Wasifu hariri

Felix Liberty alipata umaarufu katika anga ya muziki ya Nigeria mwishoni mwa miaka ya 80 baada ya kutolewa kwa wimbo wake "Ifeoma." lakini mwishoni mwa miaka ya 90 akawa Mkristo aliyezaliwa mara ya pili na sasa ni Mchungaji kanisani, amebarikiwa na watoto 19.[5][6][7]

Marejeo hariri